Magonjwa ya macho


Macho kuwasha na kutokwa na machozi (conjuctivitis) 

Huwakumba zaidi watoto wa umri kati ya miaka 5 -15 ambao hupendelea kucheza sehemu za vumbi au kwenye muangaza mkali (pwani yenye mchanga mweupe sana) Watu wazima wenye kufanya kazi kwenye viwanda vinavozalisha vumbi, na wenye pumu ya muda mrefu.

 Dalili 

 Macho kuwasha (Nuru ya macho haipungui) Macho kubadilika rangi (kahawia) Kutokwa na machozi mengi (sana) Kushindwa kuangalia kwenye muangaza mkali

 Matibabu
 Kusafisha macho mara kwa mara kwa maji safi. Kutumia dawa kwa maelekezo ya daktari 

Kinundu katika mfuniko wa juu au chini wa jicho

  Common Eye Problems and Infections
Kinundu kisichouma 
 Mara nyingi hupona chenyewe au unaweza kukikanda kwa maji ya uvuguvugu.  Kisipopona au kitakapokuwa kikubwa huhitaji upasuaji mdogo. 



Post a Comment

Previous Post Next Post