Mwanamke anaweza kupewa mimba na mwanaume aliyekufa


Historia ya dunia inaonyesha kwamba askari wengi ambao walikua wakirudisha miili ya marehemu kutoka vitani kwenda nyumbani walishiriki nazo tendo la ndoa.
tendo hili la ndoa lilihusisha miili ya jinsia zote yaani wanawake na wanaume.
hii ilifikia hatua kwamba baadhi ya wafalme na viongozi wakubwa walikua wana tabia ya kuuweka mwili wa marehemu kwa siku nne ndio uharibike  wawape watu wa kuzika.

necrophilia ni nini?
hii ni hali ambayo sio ya kawaida ambayo mtu ambaye yuko hai anavutiwa sana na kulala na wafu, mtu huyu anaweza hata kumchukua mwanamke au mwanaume ambaye yuko hai kisha akamuua wakati wa tendo la ndoa kwa kumkaba au kumnyima hewa kisha ashiriki naye tendo la ndoa baada ya kifo.
kwa mwili wa mwanamke kuingiliwa na mwanaume inaeleweka kabisa kwamba inawezekana kwa hali ya kawaida hata kama mwanamke amekufa.

je mwananaume mfu anaweza kushiriki vipi tendo la ndoa?
sisi wote tunafahamu kwamba uume hauwezi kusimama baaada ya kifo kwenye miili mingi, lakini hua kuna wanaume tofauti kidogo katika hili.
katika hali isiyo ya kawaida mwanaume anaweza anaweza akafa na uume ukabaki umesimama.
hali hii hutokea pale sehemu ya ubongo kwa jina ya celeberum inapokua imekandamizwa wakati wa kifo.
vyanzo vya vifo ambavyo uume huendelea kusimama ni kupigwa risasi ya kichwa, kunyongwa, kupewa sumu na kifo kinachosababishwa na kumeza dozi kubwa ya viagra.(dawa za kuongeza nguvu za kiume)
hali kama hii ikitokea ndipo mwanamke ambaye anapenda kulala na marehemu anapoamua kujiridhisha kwa kulala na mwili huu wa mwanaume.

je mwanaume mfu anaweza kumpa mtu mimba?
baada ya kifo mbegu za mwanaume hukaa masaa 24 kabla hazijaharibika, lakini mbegu hizi haziwezi kumpa mimba mwanamke kwa njia ya kawaida ya tendo la ndoa mpaka mbegu zile zichukuliwe na ziingizwe ndani ya kizazi cha mwanamke kitaalamu.
historia inaonyesha kwamba mtoto wa kwanza kuzaliwa kwa kutumia mbegu za mwanaume mfu alipatikana duniani mwaka 1999 na kazi hii ilifanyika nchini marekani.

Post a Comment

Previous Post Next Post