Urembo wa asili unaokinga ngozi na jua

Mkimbizi wa Rohingya Laila Begun,mwenye miaka 23, akiwa amepaka poda iitwayo thanaka katika kambi ya Balukhali nchini BangladeshHaki miliki ya picha
Image captionMkimbizi wa Rohingya Laila Begun,mwenye miaka 23, akiwa amepaka poda iitwayo thanaka katika kambi ya Balukhali nchini Bangladesh
Mpiga picha wa Reuters Clodagh Kilcoyne ametengeneza mfululizo wa picha za waislamu wa Rohingya wasichana na wanawake katika kambi mbalimbali za kusini mwa Bangladesh, akipata picha za urembo wao wa asili

Msichana mkimbizi wa jamii ya Rohingya kwa jina Rufia Begun mwenye umri wa miaka 9 akiwa ametulia kupata picha huku akiwa amepaka poda katika kambi ya Balukhali nchini BangladeshHaki miliki ya pichaREUTERS
Image captionMsichana mkimbizi wa jamii ya Rohingya kwa jina Rufia Begun mwenye umri wa miaka 9 akiwa ametulia kupata picha huku akiwa amepaka poda katika kambi ya Balukhali nchini Bangladesh

MKimbizi wa Rohingya Shamima, mwenye miaka 10, akiwa kwenye kambi ya JamtoliHaki miliki ya pichaREUTERS
Image captionMKimbizi wa Rohingya Shamima, mwenye miaka 10, akiwa kwenye kambi ya Jamtoli
Zaidi ya watu wa jamii ya Rohingya 700,000 wamekimbia makwao na kukimbia kushtakiwa katika jimbo la Rakhine nchini Myanmar na kukimbilia nchini Bangladesh tangu mwezi Agosti mwaka 2017.
Idadi ya warohingya wanaokaribia milioni moja nchini Myanmar ni moja kati ya jamii ya watu wachache waishio nchini humo.
Jeshi la Myanmar limesema linapambana na wanamgambo wa Rohingya wakikana kuwalenga raia.
Mkimbizi wa Rohingya Laila Begun,mwenye miaka 23, akiwa amepaka poda iitwayo thanaka katika kambi ya Balukhali nchini BangladeshHaki miliki ya pichaREUTERS
Image captionMkimbizi wa Rohingya Laila Begun,mwenye miaka 23, akiwa amepaka poda iitwayo thanaka katika kambi ya Balukhali nchini Bangladesh
Picha za wasichana waislamu wa Rohingya na wanawake kwenye kambi za Cox Bazaar, mji ukio kusini mwa pwani ya mashariki mwa Bangladesh zilipigwa na Kilcoyne.
Mkimbizi Senuara Begun, miaka 14 akiwaamejipaka rojo la thanaka katika kambi ya JamtoliHaki miliki ya pichaREUTERS
Image captionMkimbizi Senuara Begun, miaka 14 akiwaamejipaka rojo la thanaka katika kambi ya Jamtoli
Mkimbizi wa Rohingya, Romzida, miaka 8 akiwa kwenye kambi ya ShamlapurHaki miliki ya pichaREUTERS
Image captionMkimbizi wa Rohingya, Romzida, miaka 8 akiwa kwenye kambi ya Shamlapur
Poda hii iliyo mithili ya tope pia husaidia kuzuia miale mikali ya jua, kuifanya ngozi kupoa.
Mkimbizi wa Rohingya Zinu AraHaki miliki ya pichaREUTERS
Image captionMkimbizi wa Rohingya Zinu Ara
Poda hii ya manjano hukauka na kuwa kavu usoni, huzuia pia kuumwa na wadudu.
Rohingya refugee Nur Kayas, aged 6, poses for a photograph as she wears thanaka paste at Kutupalong camp in Cox's Bazaar, BangladeshHaki miliki ya pichaREUTERS
Poda hii, imekuwa ni kawaida miongoni mwa jamii ya wasichana na wanawake wa kiislamu jamii ya Rohingya.
Mtoto Sufaida mwenye miaka 7 akiwa katika kambi ya Kutupalong Cox Bazaar, BangladeshHaki miliki ya pichaREUTERS
Image captionMtoto Sufaida mwenye miaka 7 akiwa katika kambi ya Kutupalong Cox Bazaar, Bangladesh
Juhara Begum mwenye miaka 13 hapo chini anamwambia Kilcoyne kuwa'' ninapenda sana kujiremba, ni utamaduni wetu''.
''Jeshi lilifyatua risasi na kutuchinja.Niliishi milimani, ambako kuna joto kutokana na jua kali''.
Rohingya refugee Juhara Begum, aged 13, poses for a photograph as she wears thanaka paste at Jamtoli camp in Cox's Bazaar, BangladeshHaki miliki ya pichaREUTERS
Begun aliwasili Cox's Bazar mwezi Septemba mwaka jana baada ya kukmbia mashambulizi ya kijeshi katika kijiji chake kilicho katika jimbo la Rakhine.
Alilazimika kutembea kwa siku tano kufikia eneo la mpaka lililo salama na kambi iliyokuwa na watu wengi ya Jamtoli.
''Ninaweza kuishi bila kula wali lakini si bila poda'', alisema Begum.
Mkimbizi wa Rohingya Toyuba, 18 kutoka kambi ya KutupalongHaki miliki ya pichaREUTERS
Image captionMkimbizi wa Rohingya Toyuba, 18 kutoka kambi ya Kutupalong
Zannat Ara, mwenye miaka tisa kutoka kambi ya wakimbizi ya Kutupalong alisema: ''Ninapaka poda kuuweka uso wangu kuwa safi na kuna wadudu wanauma usoni lakini poda hii huwafukuza''.
Zannat Ara, ana miaka 9 katika kambi ya KutupalongHaki miliki ya pichaREUTERS
Image captionZannat Ara, ana miaka 9 katika kambi ya Kutupalong

Msichana kutoka jamii ya Rohingya akiwa katika kambi ya ShamlapurHaki miliki ya pichaREUTERS
Image captionMsichana kutoka jamii ya Rohingya akiwa katika kambi ya Shamlapur
Picha na Clodagh Kilcoyne.

Post a Comment

Previous Post Next Post