Mtoto aliyedungwa na msumari kichwani amepona,


Foreman was conscious the entire time before the operation, Cohen said.
Ni mkasa wa kusisimua na kuogofya pale mtoto wa miaka 12 huko maryland marekani alipokumbwa na ajali mbaya wakati wa kujenga nyumba juu ya mti.
An x-ray shows the screw partially embedded between the two halves of Darius Foreman's brain.
x-ray iliyopigwa hospitalini
Dr. Shenandoah Robinson (left), a neurosurgeon, cut the board off Foreman's head with the help of nurse John Mullen (right) before her neurosurgeon husband, Dr. Alan Cohen, removed the screw.
 Kwa jina la DARIUS FOREMEN Ndiyo hasa kijana aliyehusika na mkasa wa kusikitisha.
 X-ray iliyopigwa kutoka hospitali maarufu ya taasisi ya Johnhopkins ndiyo iliyoonyesha sehehmu ya msumari huo ukiwa umezama ndani ya fuvu.
daktari wake wa upasuaji  Dr. Alan Cohen.alisema "mtoto huyu amenusurika na kifo kwani angeweza vuja damu nyingi sana kwenye ubongo" (imetafsiriwa na mhariri wetu)

Post a Comment

Previous Post Next Post