Hakuna uchunguzi wa kiakili ulipangwakufanywa lakini kitabu kimoja cha hivi majuzi kilitilia shaka hali ya kiakili ya Rais Trump.
Kulingana na Michael Wolf, mwandishi wa kitabu cha Fire and Fury: Inside the Trump White House, ni kuwa wafanyakazi wote wa White house wanamuona Trump kama mtoto.
Trump alijibu kwa kusema kuwa kitabu cha Wolff kina uwongio mwingi huku waziri wa mashauri ya nchi za kigeni Rex Tillerson akitupilia mbali madai kuwa hali ya kiakili ya rais ilikuwa haifeli